-
Hesabu 6:2, 3Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
2 “Sema na Waisraeli na uwaambie, ‘Kama mwanaume ao mwanamuke anafanya naziri ya pekee ya kuishi akiwa Munaziri*+ kwa ajili ya Yehova, 3 anapaswa kujiepusha na divai na vinywaji vingine vyenye kulewesha. Hapaswe kunywa siki* ya divai ao siki ya kitu chochote chenye kulewesha.+ Hapaswe kunywa maji yoyote yenye yalitengenezwa na zabibu, wala kula zabibu, ikuwe za mubichi ao za kukauka.
-