-
Waamuzi 13:16Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
16 Lakini malaika wa Yehova akamuambia Manoa: “Hata nikibakia, sitakula chakula chako; lakini ukipenda unaweza kukitoa kwa Yehova kuwa toleo la kuteketezwa.” Manoa hakujua kwamba ule mutu alikuwa malaika wa Yehova.
-