-
2 Samweli 23:11, 12Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 Kisha yeye kulikuwa Shamma mwana wa Agee, Muharari. Wafilisti walikusanyika pamoja kule Lehi, kwenye kulikuwa shamba lenye kujaa dengu; na watu wakakimbia kwa sababu ya Wafilisti. 12 Lakini yeye alisimama katikati ya shamba hilo na kulilinda na aliendelea kupiga na kuua Wafilisti, na hivyo Yehova akaleta ushindi* mukubwa.+
-