Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 13:24, 25
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 24 Kisha wakati fulani mwanamuke huyo akamuzaa mwana na kumupatia jina Samsoni;+ na kadiri kijana huyo aliendelea kukomaa, Yehova aliendelea kumubariki. 25 Kisha kipindi fulani roho ya Yehova ikaanza kumuchochea+ kule Mahane-dani+ katikati ya Sora na Eshtaoli.+

  • Waamuzi 14:5, 6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 5 Basi Samsoni akashuka na baba yake na mama yake mupaka Timna. Wakati alifika katika mashamba ya mizabibu ya Timna, angalia! simba* akakuja akimungurumia. 6 Kisha roho ya Yehova ikamutia nguvu,+ na akapasua simba huyo vipande mbili, kama vile mutu anapasua mwana-mbuzi kwa mikono yake tu. Lakini hakuambia baba yake ao mama yake jambo lenye alikuwa amefanya.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine