Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 49:16
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 “Dani+ atahukumu watu wake akiwa mumoja wa makabila ya Israeli.+

  • Waamuzi 2:16
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 Basi Yehova alikuwa anainua waamuzi wenye walikuwa wanawaokoa katika mukono wa wanyanganyi wao.+

  • Waamuzi 13:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Waisraeli wakafanya tena mambo ya mubaya mbele ya macho ya Yehova,+ na Yehova akawatia katika mukono wa Wafilisti+ kwa miaka makumi ine (40).

  • Waamuzi 13:5
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 5 Angalia! Utapata mimba na utazaa mwana, na wembe haupaswe kugusa kichwa chake,+ kwa sababu atakuwa Munaziri wa Mungu tangu kuzaliwa,* na ataongoza katika kuokoa Israeli katika mukono wa Wafilisti.”+

  • Waamuzi 16:31
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 31 Kisha wakati fulani ndugu zake na watu wote wa familia ya baba yake wakashuka kumukamata. Wakamupandisha na kumuzika kati ya Sora+ na Eshtaoli katika kaburi la Manoa+ baba yake. Na Samsoni alikuwa amehukumu Israeli kwa miaka makumi mbili (20).+

  • Waebrania 11:32
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 32 Na nitasema nini zaidi? Kwa maana nitakosa wakati kama ninaendelea kueleza juu ya Gideoni,+ Baraka,+ Samsoni,+ Yefta,+ Daudi,+ na vilevile Samweli+ na wale manabii wengine.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine