-
Waamuzi 14:16Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
16 Basi bibi ya Samsoni akamulilia na kusema: “Unanichukia; haunipendi.+ Uliambia watu wangu kitendawili, lakini haujaniambia maana yake.” Samsoni akamuambia: “Angalia, sikuambia hata baba yangu wala mama yangu! Nikuambie wewe?”
-