29 Lakini wakati tu alirudisha mukono wake nyuma, ndugu yake akatoka, na mara moja mwanamuke wa kuzalisha akasema: “Mbona umejipasulia njia kwa nguvu!” Kwa hiyo akapewa jina Perezi.*+
20 Na wana wa Yuda kulingana na familia zao walikuwa: kutoka kwa Shela,+ familia ya Washela; kutoka kwa Perezi,+ familia ya Waperezi; kutoka kwa Zera,+ familia ya Wazera.