-
1 Mambo ya Nyakati 2:9-15Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
9 Wana wa Hezroni wenye walizaliwa kwake walikuwa Yerahmeeli,+ Ramu,+ na Kelubai.*
10 Ramu akamuzaa Aminadabu.+ Aminadabu akamuzaa Nashoni+ mukubwa wa wazao wa Yuda. 11 Nashoni akamuzaa Salma.+ Salma akamuzaa Boazi.+ 12 Boazi akazaa Obedi. Obedi akamuzaa Yese.+ 13 Yese akamuzaa muzaliwa wake wa kwanza Eliabu, wa pili Abinadabu,+ wa tatu (3) Shimea,+ 14 wa ine (4) Netaneli, wa tano (5) Radai, 15 wa sita (6) Ozemu, na wa saba (7) Daudi.+
-