-
Hesabu 6:5Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
5 “‘Siku zote za naziri ya Unaziri wake wembe haupaswe kupita juu ya kichwa chake.+ Ataendelea kuwa mutakatifu kwa kuacha nywele za kichwa chake zikuwe za murefu mupaka siku zenye alijiweka pembeni kwa ajili ya Yehova zimalizike.
-