Zaburi 113:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Ni nani mwenye kuwa kama Yehova Mungu wetu,+Mwenye anakaa* kule juu? Zaburi 113:7 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 Anainua mutu wa hali ya chini kutoka katika mavumbi. Anainua maskini kutoka kwenye rundo la majivu*+ Luka 1:52 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 52 Ameshusha watu wenye nguvu kutoka kwenye viti vya ufalme+ na ameinua watu wa hali ya chini;+
7 Anainua mutu wa hali ya chini kutoka katika mavumbi. Anainua maskini kutoka kwenye rundo la majivu*+ Luka 1:52 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 52 Ameshusha watu wenye nguvu kutoka kwenye viti vya ufalme+ na ameinua watu wa hali ya chini;+