16 “Kesho karibu na wakati huu, nitatuma mutu kwako wa inchi ya Benyamini.+ Unapaswa kumutia mafuta ili akuwe kiongozi juu ya watu wangu Israeli,+ na ataokoa watu wangu katika mukono wa Wafilisti. Kwa sababu nimeona mateso ya watu wangu, na kilio chao kimenifikia.”+