17 Na Ishmaeli akaishi miaka mia moja makumi tatu na saba (137). Kisha akavuta pumuzi yake ya mwisho na akakufa, naye akakusanywa kwa watu wake. 18 Nao wakaanza kuishi kuanzia Havila+ karibu na Shuri,+ yenye iko karibu na Misri, mupaka kufikia Ashuru. Alikaa karibu na ndugu zake wote.+