18 Sasa Absalomu, wakati alikuwa muzima, alikuwa amekamata na kujisimamishia nguzo katika Bonde la Mufalme,+ kwa maana alisema: “Sina mwana mwenye ataendeleza kumbukumbu la jina langu.”+ Kwa hiyo akaita nguzo hiyo kwa jina lake, na inaitwa Munara wa Absalomu mupaka leo.