-
1 Samweli 9:21Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
21 Kwa hiyo Sauli akajibu: “Je, mimi siko Mubenyamini wa kabila la kidogo sana katikati ya makabila ya Israeli,+ na je, familia yangu haiko familia ya hali ya chini sana katikati ya familia zote za kabila la Benyamini? Basi sababu gani unaniambia vile?”
-
-
1 Samweli 10:22Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
22 Kwa hiyo wakamuuliza Yehova:+ “Je, mutu huyo tayari amekuja hapa?” Yehova akajibu: “Amejificha pale kati ya mizigo.”
-