16 Mwishowe Yehova akamuambia Samweli: “Kwa kuwa nimemukataa Sauli asitawale akiwa mufalme juu ya Israeli,+ utaendelea kumuombolezea mupaka wakati gani?+ Jaza pembe yako mafuta+ na uende. Nitakutuma kwa Yese+ Mubetlehemu, kwa sababu nimejichagulia mufalme kati ya wana wake.”+