39 basi usikie kule mbinguni, makao yako,+ na usamehe+ na utende; na upatie zawabu kila mumoja kulingana na njia zake zote,+ kwa maana unajua moyo wake (wewe peke yako unajua kwa kweli moyo wa kila mwanadamu),+
9 “Na wewe, Sulemani mwana wangu, umujue Mungu wa baba yako na umutumikie kwa moyo kamili*+ na kwa nafsi* yenye furaha,* kwa maana Yehova anachunguza mioyo yote,+ na anatambua kila muelekeo wa fikira.+ Kama unamutafuta, atajiacha umupate,+ lakini kama unamuacha, atakukataa milele.+