Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 8:39
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 39 basi usikie kule mbinguni, makao yako,+ na usamehe+ na utende; na upatie zawabu kila mumoja kulingana na njia zake zote,+ kwa maana unajua moyo wake (wewe peke yako unajua kwa kweli moyo wa kila mwanadamu),+

  • 1 Mambo ya Nyakati 28:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 “Na wewe, Sulemani mwana wangu, umujue Mungu wa baba yako na umutumikie kwa moyo kamili*+ na kwa nafsi* yenye furaha,* kwa maana Yehova anachunguza mioyo yote,+ na anatambua kila muelekeo wa fikira.+ Kama unamutafuta, atajiacha umupate,+ lakini kama unamuacha, atakukataa milele.+

  • Zaburi 7:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  9 Tafazali, maliza matendo maovu ya waovu.

      Lakini umufanye imara mwenye haki,+

      Kwa kuwa wewe ni Mungu mwenye haki+ mwenye anachunguza mioyo+ na hisia za ndani kabisa.*+

  • Mezali 24:12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 Kama unasema: “Lakini hatukujua jambo hili,”

      Je, Mwenye kuchunguza mioyo* hatatambua hilo?+

      Ndiyo, Mwenye kukuangalia* atajua

      Na atalipa kila mwanadamu kulingana na matendo yake.+

  • Yeremia 17:10
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 10 Mimi, Yehova, ninachunguza moyo,+

      Ninachunguza mawazo ya ndani kabisa,*

      Ili kumupatia kila mumoja kulingana na njia zake,

      Kulingana na matunda ya matendo yake.+

  • Matendo 1:24
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 24 Kisha wakasali na kusema: “Wewe, Ee Yehova,* mwenye unajua mioyo ya wote,+ onyesha ni nani kati ya watu hawa wawili mwenye umechagua

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine