14 Lakini sasa ufalme wako hautadumu.+ Yehova atatafuta mutu mwenye kufurahisha moyo wake,+ na Yehova atamuweka kuwa kiongozi juu ya watu wake,+ kwa sababu haukutii mambo yenye Yehova alikuamuru.”+
22 Kisha kumutosha, akawainulia Daudi akuwe mufalme;+ akatoa ushahidi juu yake na kusema: ‘Nimemupata Daudi mwana wa Yese,+ mutu mwenye kufurahisha moyo wangu;+ atafanya mambo yote yenye ninapenda.’