10 Siku yenye ilifuata, roho ya mubaya kutoka kwa Mungu ikamuvamia Sauli,+ na akaanza kutenda kwa njia yenye kushangaza ndani ya nyumba, wakati huo Daudi alikuwa anapiga muziki kwa kinubi+ kama vile alikuwa anafanya nyakati zingine. Sauli alikuwa na mukuki katika mukono wake,+