-
Mambo ya Walawi 8:12Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
12 Mwishowe akamwanga juu ya kichwa cha Haruni sehemu fulani ya mafuta hayo ya kutia mafuta na akamutia mafuta ili kumutakasa.+
-
-
Hesabu 17:8Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
8 Siku yenye ilifuata, wakati Musa aliingia katika hema ya Ushuhuda, angalia! fimbo ya Haruni kwa ajili ya nyumba ya Lawi ilikuwa imetokeza matumba* na ilikuwa inatoa maua na kuzaa matunda yenye kukomaa ya muti wa lozi.
-