25 Tafazali, bwana wangu asimukazie uangalifu huyu Nabali mwenye hana mafaa yoyote,+ kwa maana yeye iko sawasawa tu na jina lake. Jina lake ni Nabali, na upumbavu uko pamoja naye. Lakini mimi, mutumishi wako mwanamuke, sikuona vijana wa bwana wangu, wenye ulituma.