1 Samweli 25:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 Nabali akajibu watumishi wa Daudi: “Daudi ni nani, na mwana wa Yese ni nani? Siku hizi watumishi wengi wanatoroka mabwana wao.+ Zaburi 35:12 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 12 Wananilipa ubaya kwa wema,+Na kunifanya nijisikie* kama mutu mwenye amebakia bila kitu.
10 Nabali akajibu watumishi wa Daudi: “Daudi ni nani, na mwana wa Yese ni nani? Siku hizi watumishi wengi wanatoroka mabwana wao.+