26 Na sasa, bwana wangu, kama vile hakika Yehova anaishi na kama vile wewe unaishi, Yehova ndiye amekuzuia+ usikuwe na hatia ya damu+ na usilipize kisasi kwa mukono wako mwenyewe. Maadui wako na wale wenye wanatafuta kumufanya mubaya bwana wangu wakuwe kama Nabali.