1 Samweli 25:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 Nabali akajibu watumishi wa Daudi: “Daudi ni nani, na mwana wa Yese ni nani? Siku hizi watumishi wengi wanatoroka mabwana wao.+ 1 Samweli 25:14 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 14 Wakati huo, mumoja wa watumishi akamuletea Abigaili bibi ya Nabali habari: “Angalia! Daudi alituma wajumbe kutoka katika jangwa ili kumutakia mema bwana wetu, lakini aliwatukana kwa sauti kali.+
10 Nabali akajibu watumishi wa Daudi: “Daudi ni nani, na mwana wa Yese ni nani? Siku hizi watumishi wengi wanatoroka mabwana wao.+
14 Wakati huo, mumoja wa watumishi akamuletea Abigaili bibi ya Nabali habari: “Angalia! Daudi alituma wajumbe kutoka katika jangwa ili kumutakia mema bwana wetu, lakini aliwatukana kwa sauti kali.+