-
1 Samweli 24:6Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
6 Akaambia watu wake: “Ni jambo lenye haliwezi kuwaziwa kwa maoni ya Yehova kwamba nimutendee jambo kama hilo bwana wangu, mutiwa-mafuta wa Yehova, kwa kuinua mukono wangu juu yake, kwa kuwa yeye ni mutiwa-mafuta wa Yehova.”+
-
-
2 Samweli 1:14Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
14 Kisha Daudi akamuambia: “Sababu gani haukuogopa kuinua mukono wako ili kumuua mutiwa-mafuta wa Yehova?”+
-
-
1 Mambo ya Nyakati 16:22Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
22 Akisema, ‘Musiguse watiwa-mafuta wangu,
Na musitendee manabii wangu jambo lolote la mubaya.’+
-
-
Zaburi 20:6Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
6 Sasa ninajua kwamba Yehova anamuokoa mutiwa-mafuta wake.+
-