Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 24:6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 6 Akaambia watu wake: “Ni jambo lenye haliwezi kuwaziwa kwa maoni ya Yehova kwamba nimutendee jambo kama hilo bwana wangu, mutiwa-mafuta wa Yehova, kwa kuinua mukono wangu juu yake, kwa kuwa yeye ni mutiwa-mafuta wa Yehova.”+

  • 2 Samweli 1:14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 Kisha Daudi akamuambia: “Sababu gani haukuogopa kuinua mukono wako ili kumuua mutiwa-mafuta wa Yehova?”+

  • 1 Mambo ya Nyakati 16:22
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 22 Akisema, ‘Musiguse watiwa-mafuta wangu,

      Na musitendee manabii wangu jambo lolote la mubaya.’+

  • Zaburi 20:6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  6 Sasa ninajua kwamba Yehova anamuokoa mutiwa-mafuta wake.+

      Anamujibu kutoka katika mbingu zake takatifu

      Kwa wokovu* mukubwa kupitia mukono wake wa kuume.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine