-
1 Samweli 31:3Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
3 Pigano likakuwa kali sana juu ya Sauli, na wapiga-mishale wakamupata, na wapiga-mishale hao wakamuumiza sana.+
-
-
1 Samweli 31:6Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
6 Basi Sauli, wana wake watatu (3), mubeba-silaha wake, na watu wake wote wakakufa pamoja siku hiyo.+
-