2 Samweli 6:17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 Basi wakaingiza Sanduku la Yehova na kuliweka mahali pake ndani ya hema yenye Daudi alikuwa amesimamisha kwa ajili ya Sanduku hilo.+ Kisha Daudi akatoa matoleo ya kuteketezwa+ na zabihu za ushirika+ mbele ya Yehova.+
17 Basi wakaingiza Sanduku la Yehova na kuliweka mahali pake ndani ya hema yenye Daudi alikuwa amesimamisha kwa ajili ya Sanduku hilo.+ Kisha Daudi akatoa matoleo ya kuteketezwa+ na zabihu za ushirika+ mbele ya Yehova.+