20 Kwenye mwanzo wa mwaka, wakati wafalme wanaenda katika mapambano ya kijeshi, Yoabu+ akaongoza wanajeshi katika vita na akaharibu inchi ya Waamoni; akakuja na kuzunguka Raba kwa ajili ya vita,+ wakati Daudi alibakia katika Yerusalemu.+ Yoabu akashambulia Raba na kuibomoa.+