-
Mambo ya Walawi 20:10Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
10 “‘Sasa kuhusu mwanaume mwenye anafanya uzinifu na bibi ya mwanaume mwingine: Mwanaume mwenye anafanya uzinifu na bibi ya mwenzake anapaswa kabisa kuuawa, ule mwanaume muzinifu na pia ule mwanamuke muzinifu.+
-