Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 18:20
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 20 “‘Haupaswe kufanya ngono na bibi ya mwanaume mwenzako,* kufanya vile ni kujichafua.+

  • Mambo ya Walawi 20:10
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 10 “‘Sasa kuhusu mwanaume mwenye anafanya uzinifu na bibi ya mwanaume mwingine: Mwanaume mwenye anafanya uzinifu na bibi ya mwenzake anapaswa kabisa kuuawa, ule mwanaume muzinifu na pia ule mwanamuke muzinifu.+

  • Mezali 6:32
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 32 Mutu yeyote mwenye kufanya uzinifu na mwanamuke hana akili ya muzuri;*

      Ule mwenye kufanya vile analeta uharibifu juu yake mwenyewe.+

  • Waebrania 13:4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 4 Ndoa iheshimiwe kati ya watu wote, na kitanda cha ndoa kikuwe bila uchafu,+ kwa maana Mungu atahukumu waasherati* na wazinifu.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine