-
Mwanzo 39:7-9Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
7 Kisha mambo hayo, bibi ya bwana wake akaanza kumuangalia na kumutamani sana Yosefu na kusema: “Lala na mimi.” 8 Lakini akakataa na kumuambia bibi ya bwana wake: “Angalia, bwana wangu haangaikie kile ninafanya katika nyumba hii, na ameweka vitu vyake vyote katika mikono yangu. 9 Hakuna mwenye kuwa mukubwa zaidi kuliko mimi katika nyumba hii, na bwana wangu hakunikataza kitu chochote isipokuwa wewe, kwa sababu wewe uko bibi yake. Kwa hiyo ninaweza namna gani kufanya ubaya huu mukubwa na kwa kweli nimutendee Mungu zambi?”+
-
-
1 Wafalme 15:5Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
5 Kwa maana Daudi alifanya mambo yenye yalikuwa sawa mbele ya macho ya Yehova, na hakugeuka na kuacha jambo lolote lenye Yeye alikuwa amemuamuru sikuzote za maisha yake, isipokuwa katika jambo la Uria Muhiti.+
-