Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 39:7-9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 7 Kisha mambo hayo, bibi ya bwana wake akaanza kumuangalia na kumutamani sana Yosefu na kusema: “Lala na mimi.” 8 Lakini akakataa na kumuambia bibi ya bwana wake: “Angalia, bwana wangu haangaikie kile ninafanya katika nyumba hii, na ameweka vitu vyake vyote katika mikono yangu. 9 Hakuna mwenye kuwa mukubwa zaidi kuliko mimi katika nyumba hii, na bwana wangu hakunikataza kitu chochote isipokuwa wewe, kwa sababu wewe uko bibi yake. Kwa hiyo ninaweza namna gani kufanya ubaya huu mukubwa na kwa kweli nimutendee Mungu zambi?”+

  • 1 Wafalme 15:5
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 5 Kwa maana Daudi alifanya mambo yenye yalikuwa sawa mbele ya macho ya Yehova, na hakugeuka na kuacha jambo lolote lenye Yeye alikuwa amemuamuru sikuzote za maisha yake, isipokuwa katika jambo la Uria Muhiti.+

  • Zaburi 5:6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  6 Utaharibu wale wenye kusema uongo.+

      Yehova anachukia watu wenye jeuri na wadanganyifu.*+

  • Zaburi 11:4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  4 Yehova iko* katika hekalu lake takatifu.+

      Kiti cha ufalme cha Yehova kiko mbinguni.+

      Macho yake mwenyewe yanaangalia, macho yake yenye kuwa na uangalifu* yanachunguza wana wa binadamu.+

  • Waebrania 13:4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 4 Ndoa iheshimiwe kati ya watu wote, na kitanda cha ndoa kikuwe bila uchafu,+ kwa maana Mungu atahukumu waasherati* na wazinifu.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine