2 Mambo ya Nyakati 19:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Yehu+ mwana wa Hanani+ muonaji akaenda kukutana naye na akamuambia Mufalme Yehoshafati: “Je, waovu ndio unapaswa kusaidia,+ na je, wale wenye wanamuchukia Yehova ndio unapaswa kupenda?+ Kwa sababu hiyo kasirani ya Yehova iko juu yako.
2 Yehu+ mwana wa Hanani+ muonaji akaenda kukutana naye na akamuambia Mufalme Yehoshafati: “Je, waovu ndio unapaswa kusaidia,+ na je, wale wenye wanamuchukia Yehova ndio unapaswa kupenda?+ Kwa sababu hiyo kasirani ya Yehova iko juu yako.