1 Wafalme 11:43 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 43 Kisha Sulemani akalalishwa na kupumuzika pamoja na mababu zake na akazikwa katika Muji wa Daudi baba yake; na Rehoboamu+ mwana wake akakuwa mufalme pa nafasi yake.
43 Kisha Sulemani akalalishwa na kupumuzika pamoja na mababu zake na akazikwa katika Muji wa Daudi baba yake; na Rehoboamu+ mwana wake akakuwa mufalme pa nafasi yake.