- 
	                        
            
            Danieli 4:25Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
- 
                            - 
                                        25 Utafukuzwa mbali na wanadamu, na makao yako yatakuwa pamoja na wanyama wa pori, na utapewa majani ukule kama vile ngombe-dume; na utalowanishwa na umande wa mbinguni,+ na nyakati saba (7)+ zitapita juu yako,+ mupaka wakati utajua kwamba Mwenye Kuwa Juu Zaidi ni Mutawala katika ufalme wa wanadamu na kwamba anaupatia mutu yeyote mwenye anataka.+ 
 
-