Kutoka 40:20 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 20 Kisha akakamata Ushuhuda+ na akautia ndani ya Sanduku+ na akatia fito+ kwenye Sanduku na kuweka kifuniko+ juu ya Sanduku hilo.+ 1 Wafalme 8:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Hapakukuwa kitu chochote ndani ya Sanduku hilo isipokuwa yale mabamba mbili ya majiwe+ yenye Musa aliweka ndani+ kule Horebu, wakati Yehova alifanya agano+ pamoja na watu wa Israeli wakati walikuwa wanatoka katika inchi ya Misri.+
20 Kisha akakamata Ushuhuda+ na akautia ndani ya Sanduku+ na akatia fito+ kwenye Sanduku na kuweka kifuniko+ juu ya Sanduku hilo.+
9 Hapakukuwa kitu chochote ndani ya Sanduku hilo isipokuwa yale mabamba mbili ya majiwe+ yenye Musa aliweka ndani+ kule Horebu, wakati Yehova alifanya agano+ pamoja na watu wa Israeli wakati walikuwa wanatoka katika inchi ya Misri.+