Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 8:27-30
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 27 “Lakini je, kweli Mungu atakaa katika dunia?+ Angalia! Mbingu, ndiyo, mbingu za mbingu, haziwezi kukuenea;+ namna gani basi nyumba hii yenye nimejenga!+ 28 Sasa kaza uangalifu kwenye sala ya mutumishi wako na ombi lake la kuomba rehema, Ee Yehova Mungu wangu, na usikilize kilio cha kuomba musaada na sala yenye mutumishi wako anasali leo mbele yako. 29 Macho yako yafunguliwe kuelekea nyumba hii usiku na muchana, kuelekea mahali kwenye ulisema juu yake, ‘Jina langu litakuwa pale,’+ ili kusikiliza sala yenye mutumishi wako anasali kuelekea mahali hapa.+ 30 Na usikilize ombi la mutumishi wako la kuomba rehema na ombi la watu wako Israeli lenye wanaomba kuelekea mahali hapa, na usikie ukiwa katika makao yako mbinguni;+ ndiyo, usikie na usamehe.+

  • Isaya 66:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 66 Yehova anasema hivi:

      “Mbingu ni kiti changu cha ufalme, na dunia ni kiti cha miguu yangu.+

      Iko wapi, basi, nyumba yenye munaweza kunijengea,+

      Na mahali pangu pa kupumuzikia pako wapi?”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine