Ezekieli 14:13 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 13 “Mwana wa binadamu, kama inchi inanitendea zambi kwa kutenda kwa kukosa uaminifu, nitanyoosha mukono wangu juu yake na kuharibu akiba yake ya chakula*+ na nitatuma njaa juu yake+ na kumuondoa mwanadamu na munyama ndani yake.”+
13 “Mwana wa binadamu, kama inchi inanitendea zambi kwa kutenda kwa kukosa uaminifu, nitanyoosha mukono wangu juu yake na kuharibu akiba yake ya chakula*+ na nitatuma njaa juu yake+ na kumuondoa mwanadamu na munyama ndani yake.”+