-
2 Mambo ya Nyakati 14:11Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 Kisha Asa akamuita Yehova Mungu wake+ na kusema: “Ee Yehova, haiko shida kwako ikuwe wale wenye unasaidia ni wengi ao hawana nguvu.+ Utusaidie, Ee Yehova Mungu wetu, kwa maana tunakutegemea* wewe,+ na katika jina lako tumekuja kupigana na watu hawa wengi.+ Ee Yehova, wewe ni Mungu wetu. Usiache mwanadamu mwenye anaweza kufa akupite nguvu.”+
-
-
2 Mambo ya Nyakati 20:5, 6Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
5 Kisha Yehoshafati akasimama katika kutaniko la Yuda na Yerusalemu ndani ya nyumba ya Yehova mbele ya kile kiwanja kipya, 6 na akasema:
“Ee Yehova Mungu wa mababu zetu, je, wewe hauko Mungu mbinguni;+ je, hauna mamlaka juu ya falme zote za mataifa?+ Katika mukono wako kuko nguvu na uwezo, na hakuna mwenye anaweza kusimama ili kupingana na wewe.+
-