Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 14:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Kisha Asa akamuita Yehova Mungu wake+ na kusema: “Ee Yehova, haiko shida kwako ikuwe wale wenye unasaidia ni wengi ao hawana nguvu.+ Utusaidie, Ee Yehova Mungu wetu, kwa maana tunakutegemea* wewe,+ na katika jina lako tumekuja kupigana na watu hawa wengi.+ Ee Yehova, wewe ni Mungu wetu. Usiache mwanadamu mwenye anaweza kufa akupite nguvu.”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 20:5, 6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 5 Kisha Yehoshafati akasimama katika kutaniko la Yuda na Yerusalemu ndani ya nyumba ya Yehova mbele ya kile kiwanja kipya, 6 na akasema:

      “Ee Yehova Mungu wa mababu zetu, je, wewe hauko Mungu mbinguni;+ je, hauna mamlaka juu ya falme zote za mataifa?+ Katika mukono wako kuko nguvu na uwezo, na hakuna mwenye anaweza kusimama ili kupingana na wewe.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine