3 Kisha Samweli akaambia nyumba yote ya Israeli: “Kama munamurudilia Yehova kwa moyo wenu wote,+ muondoe miungu ya kigeni+ na sanamu za Ashtoreti+ kati yenu, na muelekeze moyo wenu kwa Yehova bila kuyumba-yumba na mumutumikie yeye peke yake,+ na atawaokoa katika mukono wa Wafilisti.”+