-
1 Wafalme 8:49, 50Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
49 basi usikie kule mbinguni, makao yako,+ sala yao na ombi lao la kuomba rehema, na ufanye hukumu kwa ajili yao 50 na usamehe watu wako wenye wamekutendea zambi, kwa kusamehe makosa yao yote yenye walikutendea. Utawafanya kuwa vitu vya kusikilia huruma mbele ya wale wenye waliwakamata na kuwapeleka katika inchi ingine, na watawasikilia huruma+
-