10Katika mwaka wa tatu (3) wa utawala wa Koreshi+ mufalme wa Uajemi, ufunuo ulitolewa kwa Danieli, mwenye aliitwa kwa jina Belteshaza;+ na ujumbe ulikuwa wa kweli, na ulihusu ugomvi mukubwa. Na akaelewa ujumbe huo na akapewa uelewaji juu ya mambo yenye alikuwa ameona.