Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 36:22, 23
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 22 Katika mwaka wa kwanza wa Mufalme Koreshi+ wa Uajemi, ili neno la Yehova lenye lilisemwa na Yeremia+ litimizwe, Yehova alichochea roho ya Mufalme Koreshi wa Uajemi atoe tangazo katika ufalme wake wote, lenye aliandika pia,+ na kusema: 23 “Mufalme Koreshi wa Uajemi anasema hivi: ‘Yehova Mungu wa mbinguni amenipatia falme zote za dunia,+ na ameniagiza nimujengee nyumba katika Yerusalemu, yenye kuwa katika Yuda.+ Mutu yeyote mwenye kuwa kati yenu ninyi watu wake wote, Yehova Mungu wake akuwe pamoja naye, na apande.’”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine