-
2 Mambo ya Nyakati 36:22, 23Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
22 Katika mwaka wa kwanza wa Mufalme Koreshi+ wa Uajemi, ili neno la Yehova lenye lilisemwa na Yeremia+ litimizwe, Yehova alichochea roho ya Mufalme Koreshi wa Uajemi atoe tangazo katika ufalme wake wote, lenye aliandika pia,+ na kusema: 23 “Mufalme Koreshi wa Uajemi anasema hivi: ‘Yehova Mungu wa mbinguni amenipatia falme zote za dunia,+ na ameniagiza nimujengee nyumba katika Yerusalemu, yenye kuwa katika Yuda.+ Mutu yeyote mwenye kuwa kati yenu ninyi watu wake wote, Yehova Mungu wake akuwe pamoja naye, na apande.’”+
-