-
Danieli 4:34, 35Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
34 “Kwenye mwisho wa wakati huo+ mimi, Nebukadneza, niliangalia juu mbinguni, na uelewaji wangu ukanirudilia; na nikamusifu Mwenye Kuwa Juu Zaidi, na nikatoa sifa na utukufu kwa Ule mwenye anaishi milele, kwa sababu utawala wake ni utawala wa milele na ufalme wake ni wa kizazi kwa kizazi.+ 35 Wakaaji wote wa dunia wanaonwa kuwa bure, na anafanya kulingana na mapenzi yake mwenyewe kati ya jeshi la mbinguni na wakaaji wa dunia. Na hakuna mutu yeyote mwenye anaweza kumuzuia*+ wala kumuambia, ‘Umefanya nini?’+
-