Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 24:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Mufalme Nebukadneza wa Babiloni alikuja kwenye muji wakati watumishi wake walikuwa wanauzunguka kwa ajili ya vita.

  • 2 Wafalme 24:13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Kisha akakamata kutoka pale hazina zote za nyumba ya Yehova na hazina za nyumba ya mufalme.+ Akakata vipande-vipande vyombo vyote vya zahabu vyenye Sulemani mufalme wa Israeli alikuwa ametengeneza katika hekalu la Yehova.+ Jambo hilo lilitokea kama vile Yehova alikuwa ametabiri.

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 7 Na Nebukadneza akakamata sehemu fulani ya vyombo vya nyumba ya Yehova, akavipeleka Babiloni na akavitia katika nyumba yake ya kifalme katika Babiloni.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 Vyombo vyote vya nyumba ya Mungu wa kweli, vikubwa na vidogo, na pia hazina za nyumba ya Yehova na hazina za mufalme na wakubwa wake, kila kitu alikipeleka Babiloni.+

  • Ezra 6:5
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 5 Pia, vyombo vya zahabu na feza vya nyumba ya Mungu vyenye Nebukadneza alikamata katika hekalu lenye lilikuwa Yerusalemu na kuvileta Babiloni+ virudishwe, ili vitiwe mahali pake katika hekalu la Yerusalemu na vitiwe katika nyumba ya Mungu.’+

  • Danieli 1:1, 2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 1 Katika mwaka wa tatu (3) wa ufalme wa Mufalme Yehoyakimu+ wa Yuda, Mufalme Nebukadneza wa Babiloni alikuja Yerusalemu na kuizunguka kwa ajili ya vita.+ 2 Kisha wakati fulani Yehova akamutia Yehoyakimu Mufalme wa Yuda katika mukono wa Nebukadneza,+ pamoja na sehemu fulani ya vyombo vya nyumba ya * Mungu wa kweli, na akavileta katika inchi ya Shinari*+ katika nyumba ya * mungu wake. Akaweka vyombo hivyo katika hazina ya mungu wake.+

  • Danieli 5:2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 2 Wakati alikuwa amechochewa na divai, Belshaza akatoa amri kwamba vyombo vya zahabu na feza vyenye Nebukadneza baba yake alichukua katika hekalu la Yerusalemu viletwe ndani,+ ili mufalme na watu wake wenye vyeo, masuria* wake na bibi zake wa cheo cha pili wakunywe navyo divai.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine