-
2 Wafalme 24:11Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 Mufalme Nebukadneza wa Babiloni alikuja kwenye muji wakati watumishi wake walikuwa wanauzunguka kwa ajili ya vita.
-
-
2 Mambo ya Nyakati 36:7Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
7 Na Nebukadneza akakamata sehemu fulani ya vyombo vya nyumba ya Yehova, akavipeleka Babiloni na akavitia katika nyumba yake ya kifalme katika Babiloni.+
-
-
2 Mambo ya Nyakati 36:18Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
18 Vyombo vyote vya nyumba ya Mungu wa kweli, vikubwa na vidogo, na pia hazina za nyumba ya Yehova na hazina za mufalme na wakubwa wake, kila kitu alikipeleka Babiloni.+
-
-
Danieli 1:1, 2Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
1 Katika mwaka wa tatu (3) wa ufalme wa Mufalme Yehoyakimu+ wa Yuda, Mufalme Nebukadneza wa Babiloni alikuja Yerusalemu na kuizunguka kwa ajili ya vita.+ 2 Kisha wakati fulani Yehova akamutia Yehoyakimu Mufalme wa Yuda katika mukono wa Nebukadneza,+ pamoja na sehemu fulani ya vyombo vya nyumba ya * Mungu wa kweli, na akavileta katika inchi ya Shinari*+ katika nyumba ya * mungu wake. Akaweka vyombo hivyo katika hazina ya mungu wake.+
-