Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Ezra 5:14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 Zaidi ya hilo, Mufalme Koreshi alikamata katika hekalu la Babiloni vyombo vya zahabu na feza vya nyumba ya Mungu vyenye Nebukadneza alikuwa amekamata katika hekalu la Yerusalemu, na kuvileta katika hekalu la Babiloni.+ Vilipewa mwanaume mwenye kuitwa Sheshbazari,*+ mwenye Koreshi alimufanya kuwa gavana.+

  • Ezra 5:16
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 Basi Sheshbazari alikuja, na akaweka misingi ya nyumba ya Mungu,+ yenye kuwa Yerusalemu; na kuanzia wakati huo mupaka sasa inaendelea kujengwa, lakini haijamalizika.’+

  • Hagai 1:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 1 Katika mwaka wa pili wa Mufalme Dario, mwezi wa sita (6), siku ya kwanza ya mwezi huo, neno la Yehova likakuja kupitia nabii Hagai*+ kwa Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli, gavana wa Yuda, na kwa Yoshua mwana wa Yehosadaki, kuhani mukubwa, na kusema:

  • Hagai 1:14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 Basi Yehova akaamusha roho+ ya Zerubabeli mwana wa Shealtieli, gavana wa Yuda,+ na roho ya Yoshua+ mwana wa Yehosadaki, kuhani mukubwa, na roho ya watu wengine wote; wakakuja na wakaanza kujenga nyumba ya Yehova wa majeshi, Mungu wao.+

  • Hagai 2:23
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 23 “‘Siku hiyo,’ ni vile Yehova wa majeshi anasema, ‘nitakuchukua, mutumishi wangu Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli,’+ ni vile Yehova anasema, ‘na nitakufanya kuwa kama pete ya muhuri, kwa sababu ni wewe nimechagua,’ ni vile Yehova wa majeshi anasema.”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine