-
Esta 8:9Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
9 Kwa hiyo waandishi wa mufalme wakaitwa katika mwezi wa tatu (3), ni kusema, mwezi wa Sivani,* siku ya makumi mbili na tatu (23) ya mwezi huo, na wakaandika mambo yote yenye Mordekai aliamuru Wayahudi, maliwali,+ magavana, na wakubwa wa majimbo*+ kuanzia India mupaka Etiopia, majimbo* mia moja makumi mbili na saba (127), kila jimbo* kwa mwandiko wake mwenyewe* na kila kikundi cha watu kwa luga yao wenyewe na kwa Wayahudi katika mwandiko wao wenyewe* na luga yao.
-