-
Esta 3:12Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
12 Kisha waandishi wa mufalme+ wakaitwa siku ya kumi na tatu (13) ya mwezi wa kwanza. Wakaandika mambo yote+ yenye Hamani aliamuru maliwali wa mufalme, magavana wenye walikuwa wanasimamia majimbo,* na wakubwa wa vikundi mbalimbali vya watu, kila jimbo* kwa mwandiko wake* na kila kikundi cha watu kwa luga yao wenyewe. Mambo hayo yaliandikwa katika jina la Mufalme Ahasuero na kutiwa muhuri kwa pete ya mufalme.+
-
-
Esta 3:14Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
14 Kopi ya maandishi hayo ilipaswa kutolewa kuwa sheria katika kila jimbo* na kutangaziwa vikundi vyote vya watu, ili wajitayarishe kwa ajili ya siku hiyo.
-