Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Esta 3:12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 Kisha waandishi wa mufalme+ wakaitwa siku ya kumi na tatu (13) ya mwezi wa kwanza. Wakaandika mambo yote+ yenye Hamani aliamuru maliwali wa mufalme, magavana wenye walikuwa wanasimamia majimbo,* na wakubwa wa vikundi mbalimbali vya watu, kila jimbo* kwa mwandiko wake* na kila kikundi cha watu kwa luga yao wenyewe. Mambo hayo yaliandikwa katika jina la Mufalme Ahasuero na kutiwa muhuri kwa pete ya mufalme.+

  • Esta 3:14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 Kopi ya maandishi hayo ilipaswa kutolewa kuwa sheria katika kila jimbo* na kutangaziwa vikundi vyote vya watu, ili wajitayarishe kwa ajili ya siku hiyo.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine