-
Yobu 5:8, 9Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
8 Lakini mimi ningemupelekea Mungu ombi langu,
Na ningemupelekea Mungu kesi yangu ya hukumu,
9 Yeye mwenye anatenda mambo makubwa na yenye hayawezi kuchunguzwa,
Mambo ya ajabu yenye hayana hesabu.
-
-
Yobu 11:13Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
13 Ingekuwa muzuri kama ungetayarisha moyo wako
Na kumuinulia mikono yako.
-
-
Yobu 22:23Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
23 Ukimurudilia Mweza-Yote, utarudishwa katika hali ya muzuri;+
Ukiondoa ukosefu wa haki katika hema yako,
-