Yobu 1:8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 Na Yehova akamuambia Shetani: “Je, umemuona* mutumishi wangu Yobu? Hakuna mutu kama yeye juu ya dunia. Yeye ni mutu munyoofu na muaminifu-mushikamanifu,*+ mwenye kumuogopa Mungu na kuepuka mambo ya mubaya.”
8 Na Yehova akamuambia Shetani: “Je, umemuona* mutumishi wangu Yobu? Hakuna mutu kama yeye juu ya dunia. Yeye ni mutu munyoofu na muaminifu-mushikamanifu,*+ mwenye kumuogopa Mungu na kuepuka mambo ya mubaya.”