19 Pia, wakati Mungu wa kweli anapatia mutu utajiri na vitu vya kimwili+ na kumuwezesha kuvifurahia, anapaswa kukamata zawabu yake* na kufurahia kazi yake ya nguvu. Hiyo ni zawadi ya Mungu.+
17 Kila zawadi ya muzuri na kila zawadi kamilifu inatoka juu,+ inashuka kutoka kwa Baba wa miangaza ya mbinguni,+ mwenye habadilike ao kugeuka kama kivuli chenye kugeuka-geuka.*+