-
Yobu 2:3Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
3 Na Yehova akamuambia Shetani: “Je, umemuona* mutumishi wangu Yobu? Hakuna mutu kama yeye juu ya dunia. Yeye ni mutu munyoofu na muaminifu-mushikamanifu,*+ mwenye kumuogopa Mungu na kuepuka mambo ya mubaya. Mupaka sasa angali anashika sana uaminifu-mushikamanifu wake,+ hata kama unajaribu kunichochea+ nimuharibu* pasipo sababu.”
-