-
Muhubiri 12:5Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
5 Tena, mutu anaogopa nafasi za juu, na kuko mambo yenye kuogopesha sana katika barabara. Na muti wa lozi unatoa maua,+ na panzi anajikokota, na tunda lenye kuleta hamu ya kula linapasuka,* kwa sababu mwanadamu anaenda kwenye nyumba yake ya kudumu+ na waombolezaji wanatembea huku na huku katika barabara;+
-